FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Yaani huyu Pacome yaani hili bonanza anacheza hivi, halafu bado kuna Dube......... nyie.Jana kuna watu hata ukiwauliza walikiwa wanacheza mfumo gani hawajui,muunganiko hamna....... tupo hapa.Wanatupigia kelele humu ,nyie jidanganyeni na hili bonanza maana sijui safari nani atapewa mzigo wa lawama wa kuitwa duka.
Mhudumuuu, muongezee na huyu, sijui anakunywa nini.
 
Hawa Jamaa mbona kama wametumwaaa🤣🤣Mh! Kocha weka Bacca,tia nzengeli na Dune mechi iiche 3 moya. Makolo Wala usiwaogopee ni utelezii tupu.
 
tatizo la yanga mashabiki watasusa tar 8 wasije. mashabiki wao roho ndogo hawana simile watasusa gsm awaambie waingie breeee mwishoe
Wakati mnabeba mara nne mfululizo wakati huo Yanga inapitisha bakuli viwanjani. Yanga ndio timu ilikua inaingiza fans wengi viwanjani kuliko timu yoyote ya ligi kuu.

Hizi kauli watafuteni wasiojua muwaambie msiviandike humu
 
GSM atumie muda huu wa mapumziko kuongea vizuri na hao mishale myekundu, mbona yanazungumzika tu. Hivi hivi hii sherehe itageuka huzuni
 
Bonanza...... ila jidanganyeni, sijui safari hii nani mtamwita duka,timu haifamiki inatumia mfumo gani hamna muunganiko. Jichanganyeni tuu tunawasubiria.....
Hata lile la Kaizer Chiefs lilikuwa bonanza, lakini tulienda kuwapokea wachezaji airport kwa gwaride, tena usiku mnene. Kwa hiyo tusijifiche kwa kigezo cha bonanza
 
Namna gani pale naona mashabiki wameanza Kuondoka huku wanatukana Mambo gani hapa 🤣🤣🤣
Nimewaona😁😁
1722791990544.jpg
 
Back
Top Bottom