labda pawe na vipofuHiyo Tunarudisha kama mlivyotifunga 1-5
Kama Mnakumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kitendo cha Utopoloo kutolewa semi final CAF, sisi simba ni full burudaniiiiiii.Tuna anzia tulipo ishia
amesha omba kuachana na simba mapema tuINONGA ni bora simba waachane naye tu...
Currently ana - cost simba ktk mipango yake
Hakuna fixing yoyote. Angalia mpira boss ni nafasi zinatumika na kutotumika.Fixed games,soka la Tanzania halitaendelea kabisa
Inasikitisha, huoni dalili ya ushindi kwa Simba. Huoni nani anayeweza kufunga toka Simba. Inasikitisha sana.Simba akijichanganyq asawazishe anapigwa tano tena
Hana huo uwezoGuede angefumua mwenyewe tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tunatazama mkiwa mnacheza na experance hapa semi final CAFCL.Wanasimba, lile shuti la Azizi Ki dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli?
Na hta ubingwa wabebe tuuu, ss tulibeba mara 4 mfululizo. Tunataka walipe sasa ππππππ[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kitendo cha Utopoloo kutolewa semi final CAF, sisi simba ni full burudaniiiiiii.
Match ya leo hata mfunge 10 sina hata mshtukoo,
Niko buzzy naangalia Al Ahly na Tp Mazembe.
Hakuamua,juzi kafunga goal kwenye angle ngumu kuliko nafasi ya leo.Hana huo uwezo
Master Ki unamuona lakiniAwapi
Inasikitisha sana. Msimu ujao wajipange upyaInasikitisha, huoni dalili ya ushindi kwa Simba. Huoni nani anayeweza kufunga toka Simba. Inasikitisha sana.
Sisi wenyewe tunaona mechi hainogi sababu tunajua lazima tuwagonge timu bovu makolokolo ππππ[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kitendo cha Utopoloo kutolewa semi final CAF, sisi simba ni full burudaniiiiiii.
Match ya leo hata mfunge 10 sina hata mshtukoo,
Niko buzzy naangalia Al Ahly na Tp Mazembe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] match ya leo haina hata msisimko, mashabiki wenyejii wamesusaa kwenda uwanjani. WoiiiiiihNa hta ubingwa wabebe tuuu, ss tulibeba mara 4 mfululizo. Tunataka walipe sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]