Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Me ni kolo mkuu sema nini timu yangu mbovu 😡Mkuu kumbe wewe yanga🤣🤣
Who is this guy 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me ni kolo mkuu sema nini timu yangu mbovu 😡Mkuu kumbe wewe yanga🤣🤣
Who is this guy 🤣
Hahahaha. Hii si hali ya kawaida siyo?Yanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...
✌️ hii fedhea kuna siku itaisha.Polee sana mtani
Tujiange upya tu mkuuMe ni kolo mkuu sema nini timu yangu mbovu 😡
Hamkomi, ooh Mo alishamalizana na Djuigui..... kiko wapi?Yanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...
Management ya Simba wanazngua sana.Tujiange upya tu mkuu
Hainihusuuu [emoji23][emoji23][emoji23]Kulikuwa na umuhimu gani wa kwenda Zanzibar sasa![emoji1]
Haijasaidia kitu maana walishtukiwaWamepulizia mpaka dawa kwenye chumba cha kubadilishia nguo wapinzani wao, lakini wapi!
Oyaaa [emoji23]Game ya kesho sare 1:1
Screenshot tunza kwenye kabati
Quoted for Reference
coming soonSipati picha Yanga tukishinda hii mechi.
Mpasuko utakaoipasua Simba ni mkubwa
Tumeenda nayo na tumeshindaHii game ñaona yanga wanaenda na matokeo yao mfukoni... Hayaaaa.....[emoji28]
cc: Moderator fanya yakoUtopolo akishinda nipigwe ban la mwaka
UBUNTU BOTHO [emoji91][emoji91][emoji91]
correctLeo ubashiri wangu atakaye kua wakwanza kupata goli yuleyule ndo atakua mshidi?
Kihasibu muambie simba akipoteza mechi ijayona DODOMA JIJI au akisuruhuMechi kumi za wapi? Bado mechi nane tu kwa Yanga na mechi 9 kwa Simba. Na msimamo huu hapaView attachment 2969343
Una akili sanaWatani leo hakikisheni mnatukanda vizuri
Kwenye zile 5 ongezeni hapo mbili
Mpaka akili ziwakae sawa viongozi
Mwambie kwanza UBUNTU - BONTHOcc: Moderator fanya yako