Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
๐ sio sio mimi ni jirani yako, jirani mwema๐๐๐๐๐ kwani sio chawa wangu kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ sio sio mimi ni jirani yako, jirani mwema๐๐๐๐๐ kwani sio chawa wangu kweli??
Mudathir jana alioga sana matusi ya wana jangwani alikuwa hana usahihi wa pasi na hakuwa na maamuzi ya haraka na alishindwa kuendana na kasi ya wachezaji wenzie wa Yanga. Yao Kwasi naye alichoma mbili mfululizo halafu ni golini kwakeMbona mudathir aliwapa pass sana makolo, na hatujalalamika?
Match ya jana Yanga tumecheza chini ya kiwango na bado tukashinda
Kudadadadeqqqq[emoji1732][emoji23]
Alifanyiwa high pressing wala hakutoa pasiVijana wanachomesha si unaona Yule beki anaitwa Kazi. Sijui mlimpa bahasha maanaa kampa Pasi azizi kirahisi saana
Jana aliyecheza kwa usahihi ni Diara na Ki basi..! Wengine wote walikua tia majiMudathir jana alioga sana matusi ya wana jangwani alikuwa hana usahihi wa pasi na hakuwa na maamuzi ya haraka na alishindwa kuendana na kasi ya wachezaji wenzie wa Yanga. Yao Kwasi naye alichoma mbili mfululizo halafu ni golini kwake
Lawama anabebeshwa MwamnyetoJana aliyecheza kwa usahihi ni Diara na Ki basi..! Wengine wote walikua tia maji
Bacca angekua kwenye kiwango chake Fred asingefunga lile goal
Hivi ulisema yanga ikishinda utanipa nn??Mbona mudathir aliwapa pass sana makolo, na hatujalalamika?
Match ya jana Yanga tumecheza chini ya kiwango na bado tukashinda
Kudadadadeqqqq๐คธ๐
Inshort timu lenu boviuuuuJana aliyecheza kwa usahihi ni Diara na Ki basi..! Wengine wote walikua tia maji
Bacca angekua kwenye kiwango chake Fred asingefunga lile goal
Vingereza vingereza vya nn? Inshot alicheza upupuAlifanyiwa high pressing wala hakutoa pasi
Tafuta visingizio tu๐Hivi ulisema yanga ikishinda utanipa nn??
Inshort nasubiri utekeleze ahadi....nimejiandaa kupokeaTafuta visingizio tu๐
Wewe nfo ulisema Yanga wakishinda utanipa ghorofa lako
Mashabiki wa simba wengi ni hawa bodaboda wa energy drinks na misokoto. Hapo unahisi watakuwa sawa kichwani?. Hawana uvumilivu hata kidogo.Nakubaliana na wewe. Kitendo cha mashabiki wa timu moja kutishia viongozi wao Kwa matokeo ya mechi moja kinatia shaka uwezo wao wa kishabiki. Ni kweli Simba imetetereka siku hizi lakini Kwa nini hawakuwa na uchungu Mechi Tatu/nne zilizopita wanasubiri Hali imekuwa mbaya zaidi ndo wanatoa vitisho? Ina maana timu ikishinda Leo ndo inakuwa Bora?
Sikuhaidi kitu usinisingizieInshort nasubiri utekeleze ahadi....nimejiandaa kupokea
Inshort timu lenu boviuuuu
Ila magoal yaliingia au hayakuingia?Inshort nasubiri utekeleze ahadi....nimejiandaa kupokea
Yaliingia ndugu yanguIla magoal yaliingia au hayakuingia?
Basi kama inauma Chomoa๐คธYaliingia ndugu yangu
Mashabiki wa 7-2 wana akili ndogo sana kesho watatengenezewa story watahimia huko kama nyumbu jiandae kusikia story negative kuhusu Yanga week hii na watatembea nayoNakubaliana na wewe. Kitendo cha mashabiki wa timu moja kutishia viongozi wao Kwa matokeo ya mechi moja kinatia shaka uwezo wao wa kishabiki. Ni kweli Simba imetetereka siku hizi lakini Kwa nini hawakuwa na uchungu Mechi Tatu/nne zilizopita wanasubiri Hali imekuwa mbaya zaidi ndo wanatoa vitisho? Ina maana timu ikishinda Leo ndo inakuwa Bora?
Mimi huwa ni mnyoofu katika thread zangu. Nimeongelea tukio la kweli na si ushabiki. Na si mara ya Kwanza namsema Chama maana ni mchezaji ninayemkubali Sana. Hebu fikiria Simba wangecheza pungufu tangu dakika ya 57 nini kingewapata Jana?Mashabiki wa 7-2 wana akili ndogo sana kesho watatengenezewa story watahimia huko kama nyumbu jiandae kusikia story negative kuhusu Yanga week hii na watatembea nayo
Na Nzengeli na Guede jana walicheza vizuriJana aliyecheza kwa usahihi ni Diara na Ki basi..! Wengine wote walikua tia maji
Bacca angekua kwenye kiwango chake Fred asingefunga lile goal
Nichomoe nini? Mbona umeanza kunisimanga saanaBasi kama inauma Chomoa๐คธ