FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
Yes chama asingetolewa, jamani kwani kapombe anaumwa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…