cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ndyo SAA 1 usiku.Namansha Simba Vs Yang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo SAA 1 usiku.Namansha Simba Vs Yang
Uzi wa updates za hiyo mechi wadau wamesema ni 1900Fafanua
Sante CocasticNdyo SAA 1 usiku.
Ahsante mkuuK
Uzi wa updates za hiyo mechi wadau wamesema ni 1900
Ni kweli boss haina mwenyewe ila kolo leo halitokiKila la heri wananchi. Natambua fika mechi ya derby ya Kariakoo, haina mwenyewe.
Huyo sakho atafunga goli lenu pekee, huku wanachi tukitoka kifua mbele.Leo yupo okwa,sakho,kibu dee bila kumsahau mlete mzunguuuu
Mlete mzunguuuu
Mlete mzunguuuu
Let's wait and seeHuyo sakho atafunga goli lenu pekee, huku wanachi tukitoka kifua mbele.
Leo hamtaamini.Ni kweli boss haina mwenyewe ila kolo leo halitoki
Mbona zilishawahi kutokea Utopolo kutwangwa 5-0 mara mbili, 6-0 mara moja, na 4-1 mwaka juziHakuna derb ya magoli mengi hivo unadhan ni mapinduzi cup?
Matangazo ya biashara yameanzaTarehe imewadia.
Klabu mbili kubwa hapa nchini zinaenda kukiwasha uwanja wa Mkapa Dar es salaam.
Ikumbukwe kwamba mwaka jana walipokutana kwenye ngao ya jamii Yanga alipata ushindi wa goli moja lililofungwa na Fiston Mayele.
Je mnyama mkali atalipiza kisasi au Yanga ataendeleza ubabe? Tutakuwa hapa kupeana taarifa.
Mchezo utaanza saa moja kamili jioni.
Simba nyanaume unanifurajisha Sana. [emoji23][emoji23][emoji23] Eti bujibuji Simba nyanaume alfu upo. Yangaa raaha snaaSimba imepakatwa mapema sana
Na leo Yanga anajipigia tu, anachuguwa style ipi nzuri ya kukoleza moto.Leo Yanga Anakufa Mapema Sanaaaa, Hatuwezi kuwa Wanyonge Kila Msimu
Vikosi viko wapi?Tarehe imewadia.
Klabu mbili kubwa hapa nchini zinaenda kukiwasha uwanja wa Mkapa Dar es salaam.
Ikumbukwe kwamba mwaka jana walipokutana kwenye ngao ya jamii Yanga alipata ushindi wa goli moja lililofungwa na Fiston Mayele.
Je mnyama mkali atalipiza kisasi au Yanga ataendeleza ubabe? Tutakuwa hapa kupeana taarifa.
Mchezo utaanza saa moja kamili jioni.
Vikosi viko wapi?