Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hofu mkurugenzi. Mpira bado haujaanza.Hata Phiri hayupo,acha tufungwe tu
Kwamba huyu Mzungu hajaambiwa utamaduni wa hii mechi?hiyo list, duh aisee kocha mzungu weeeeeeee
Simba kwenye icho kikosi akuna stricker namba tisa wa asili ambae angetakiwa awe Phiri.badala yake yupo benchi.Hata Phiri hayupo,acha tufungwe tu
Kikosi kiko poa. Morrison na Makambo waingie baadaye kwa lengo la kubadilisha mchezo.Kikosi cha Yanga vs Simba
39.Diarra
21.Djuma
15.Kibwana
5.Job
4.Bangala
8.Aucho
18.Sure boy
6.Feisal.
9.Mayele
10.Aziz Ki
17.Farid
Sub
Mshery
Lomalisa
Mwamnyeto
Bacca
Mauya
Moloko
Morisson
Makambo
Kila laheri mnyamaMwana Kulipewa Mwana Kulitaka
Sasa tatizo baadaye watasema wanaonewaAcha hofu mkurugenzi. Mpira bado haujaanza.
Binafsi kama shabiki wa Yanga, pia niungane na wapenda soka wote kukemea huu utaratibu wa timu zetu kupita maeneo ambayo siyo rasmi kwao.
Mimi kama mwananchi, nao ni mapema sana kuingiza hofu. Mechi ya derby siku zote haina mwenyewe. Dakika 90 ndizo zinazo amua matokeo! Na siyo aina ya wachezaji.Benchi la Ufundi la Simba limekosea kupanga kikosi.
I'm sorry NAONA timu yangu ikienda kupoteza Tena.
Poleni Sana Wana Simba.
Moses Phiri hata bench hayupo daah!kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Kwamba huyu Mzungu hajaambiwa utamaduni wa hii mechi?
Unajuaje kama ni majeruhi, au amepata changamoto za kiafya dakika za mwisho kabla ya mchezo! You never know.Moses Phiri hata bench hayupo daah!