Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kikosi nadhani kocha kapangiwa aiseeh.Kikosi Cha Simba Ni Aibu [emoji2357][emoji2357][emoji2357] Tunasubiri kuabishwa
Mi pia nakosa imani,isije ikawa too lateHicho kikosi kinachoanza kwa upande wa Simba Sc sina imani nacho kabisa.
Anyway ngoja tuone.
Dah!kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Yaani Kapombe sub,Okra ,okwa .kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Aiseeee,let us wait and seeMi pia nakosa imani,isije ikawa too late
Hao huwa ni washenzi ingawa kuna watu watakuja kukupopoa kwa hii comment yako, ila hapo baadae kuna Bungila zitakuja kutetea humu kuwa team yao inaonewa wakipigwa faini.Yanga wanaingilia mlango mwingine,baadaye wakipigwa faini wanaanza kupiga kelele Karia ni Simba anapendelea Simba ,timu kubwa ila kubwa jinga
Hicho kikosi nadhani kocha kapangiwa aiseeh.
Kwa okwa na okra ni sawa kuanzia nje kutokana na presha ya mchezo, sijajua kapombe ana shida gani.Yaani Kapombe sub,Okra ,okwa .
Dah ,kweli Kanuti na Israel Mwenda na walizingua mechi iliyopita
Mimi hapo kwa Mwenda sina amani kabisa, na hapo kwenye viungo sioni yoyote mweye kupazimisha mashambulizi.kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Sasa tuna striker gani Phiri hayupoKwa okwa na okra ni sawa kuanzia nje kutokana na presha ya mchezo, sijajua kapombe ana shida gani.