kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Ngoja tuone ila mpaka saizi sina hope kabisalabda kiini macho,mashabiki tunaona kikosi kibovu,benchi la ufundi linaona limeweka full mkoko,derby inamambo😅😅😅😅
Akili zako zinaona hivyoMijezi Ya mijumba inavaliwa Basi tu...ni kama kumeza Dawa chungu....Kwa kuwa unaumwa ...La sivyo umezi..!
Nipo Mubashara kuona Wananchi tunaibeba Ngao ya Jamii
Bro mbona umekata tamaa kiasi hicho. Ukisikia goal usirudi huku.Utopolo mshindwe wenyewe.
Yani kwa kikosi kile kile walichoingia nacho Simba bado Yanga wanakiogopa?DK 5, YNG 0 - S.S.C. 0
Kuna kuogopana kwingi
Hata redio sisikilizi
Hivi Leo nani yuko nyumbani!???