Hawa naona huyu kocha hatuli nae xmasThimbaa mmeanza kulialia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa naona huyu kocha hatuli nae xmasThimbaa mmeanza kulialia tena
Ongeza sauti shenzeee weweee..!!! 😂 😂 😂 😂 Mayele kalipa deni, halafu kawakopesha mojaUto anakufa leo maana hawa watani hushinda kwa zam
Liambie life kudadadadadadazeki zakeeeeee 😂 😂 😂 😂Huwa hatubahatishi mkuu
Hii ndiyo yanga yenyewe yaani kuna kolo hapa limenuna utadhani limemeza
Daaa,watu mna maneno sanaIla profesa mjanja sanae
Yaani kaenda kumkodi benzema pale real madrid eti anatudanganya ndio mayele.
Akati mayele alikuwa nje ,wasituletee janja tunaenda kwa baba yetu karia [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Hongereni naona mmeongeza la nne.Full time
Yanga 1-3 Simba
Jamani!!!Wale waliobeba mango ya Samia ndio wametutia nuksi
Ahahahahaha atasepeshwa mapemaaaa..!!Hawa naona huyu kocha hatuli nae xmas
Waongo yanga wamekodi benzema wamemvalisha kinyago cha mayele.Afu goli la pili lilianza kupita kwenye tobo la INONGA ndo likaingia nyavuni.. Huyu mayele aliwahi kumtoboa Onyango na leo kamtoboa Inonga kudadadadaaaaadeeekii. Bado kumtoboa Kakolanya au Manula
Hapana, kwa Karia hatutapata matokeo, kitendo hicho kinatakiwa kifikishwe FIFAWaongo yanga wamekodi benzema wamemvalisha kinyago cha mayele.
Tukashtaki kwa baba karia.
Vipi hawezi kutafunya mfupa? Apewe vumbi la congo😀😀😀[emoji81][emoji81][emoji81]maninerView attachment 2323243
Pia golini kuna shida kubwa. Magoli yote mawili kipa mzuri ana serve.Leo Akpan alipaswa kuanza kabla ya Kanoute kwasababu Kanoute hajawa na Timu kwa Muda Mrefu. Ngoja tuone Ligi ikianza tutajua lakini asije leta huu Ujinga kwenye CAF
Kocha kazingua sana nahisi matola ndio anaharibu timu.Sana, unamtoaje chama jmn wkt alikua yupo kwenye form nzuri tu. Kocha kazingua sn leo
Hongereni kwa ushindi mkubwaPia golini kuna shida kubwa. Magoli yote mawili kipa mzuri ana serve.
Matola baba week hii mzigo utaangushiwa wewe 😂😂Kocha kazingua sana nahisi matola ndio anaharibu timu.
Siku mbaya hua ni mbaya tu usisahua Simba imetangulia kupata golianamtoaje chama anamweka mzamiru? Anamwacha kapombe anamweka Mwenda hata kupiga krosi ni ishu, anamweka Kyombo anamwacha Phiri ,halafu Kanuti wa nini?