FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Mabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.

Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?

Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
Sowah huyu alisema eng.hersi ni baba yake
 
Haa sasa itakuwa vipi hao wazee wamekesha kwenye mnuso wa mchezaji mwenzao AZIZI K, Ndiyo tuseme furaha wataihamishia uwanjani?
 
Ndio maana Leo sijaenda uwanjani kaka nimeona miyeyusho 😃
Hawa Singida hawa wabishi aisee.
Na Yanga haina Aziz K leo.

Marafiki zake kadhaa walikua kwa sherehe siku mbili mfululuzo kuna fitness itakosekana hapo nina wasi wasi kama mbobevu. Labda Yanga watumie uzoefu wao kushinda hii game.
 
Hawa Singida hawa wabishi aisee.
Na Yanga haina Aziz K leo.

Marafiki zake kadhaa walikua kwa sherehe siku mbili mfululuzo kuna fitness itakosekana hapo nina wasi wasi kama mbobevu. Labda Yanga watumie uzoefu wao kushinda hii game.
Exactly 💯 mie Leo sitokei Kabisa complex nisije kuchoma mafuta ya bure kwenye pikipiki yangu aisee
 
Unadhani nani ataibuka na ushindi? 🤔⚽ Yanga wanaonekana kuwa na form kali, lakini Singida Black Stars wanaweza kuleta mshangao. Unategemea nini kwenye hii mechi? Tuambie mawazo yako! 🔥👀
 
Back
Top Bottom