Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida BS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Update Uzi mkuuMabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.
Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?
Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
Wewe ni mganga?Atatupia goal au assist dakika za majeruhi.
Usiniulize najuaje hivi vitu
Hapana, ni script writerWewe ni mganga?
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida BS
View attachment 3239194
Weka na kikosi cha Singida mkuuKikosi kinachoanza dhidi ya Singida BS
View attachment 3239194
Mnakimbiliakuanzisha Nyuzi hamuwezi kutoa updates wajinga nyieMabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.
Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?
Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
Zamu yako ya kugawa utamu itafika tu usiwe na wivu na wenzako.MECHI HIZI
*PAMBA
*SINGIDA BLACK STARS
*PRISONS.....hizi zote ni YANGA RESERVED TEAM ww shabiki mwenzangu wa Simba usipoteze muda wako kuangalia Fanya Mambo mengine,, Yani we kwa akili Yako Singida amfunge dingi yake?
Mechi ya Baker na Bakari, Singida anapigwa hilo liko waziMabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.
Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?
Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
Mi nishaachaga kuangalia mechi za yanga, upuuzi mtupumechi ya maigizo hii haina mvuto. Only in Tanganyika, ndio maana mmeishia makundi kule hakuna mchekea.
Hujui nini kilitokea baada ya mechi ile? Kocha Uchebe alifukuzwa kazi kwa kuibania yanga, wasenge kweli hawa jamaaHii mechi sio nyepesi kwa Yanga kama vile watu wanavyodhania. Kumbuka mechi ya kule Zanzibar hadi watu wanataka kupigiana kisa kupaniana, ndivyo na leo Singida lazima wataingia katika mchezo wakitaka matokeo kwa namna yeyote ile.
😀😃Weka na kikosi cha Singida mkuu