Mmelegezewa mechi hiiSisi ndo yangaa🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmelegezewa mechi hiiSisi ndo yangaa🔥🔥
wemesema ni sababu gani ambayo wewe umeona siyo ya msingiwamepumzisha wachezaji sita kwa sababu isiyo na msingi
Ni kama ambavyo Huwa inakuwa mechi ya SIMBA vs AZAMDuka lipo wazi vyura ni kujichukulia tu
Tena wao walikiwa na extra day rest kuliko yangawamepumzisha wachezaji sita kwa sababu isiyo na msingi
Hizi ndo habari za kusikia sasaMabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.
Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?
Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
nimeshaweka hapo juuwemesema ni sababu gani ambayo wewe umeona siyo ya msingi
Leo wazee wa mizigo weka ata million miaYanga ya Dar Vs Yanga ya Mkoani
Dugu moja, Singida lazma atamuachia dada yake
Hamrudi kileleni ng'ooMmelegezewa mechi hii
Aisee hatari hii hapa leo mnajipigia 5 vizuri kabisaHamrudi kileleni ng'oo
Rudia tena...Hamrudi kileleni ng'oo
Habari ndio hiooRudia tena...
Masalanga tayari anayo na ya kutolea
Hata Azam na Tabora wakicheza na Yanga huwa wanakimbiza.Wakicheza na Simba huwa wanakimbia kama wendawazimu. Leo wapo na ndugu zao wanapiga pasi kama wanawapasia Yanga.
Mtasubiri SanaHabari ndio hioo
Wasiwe majeruhi watakapokutana na simbawemesema ni sababu gani ambayo wewe umeona siyo ya msingi