Sowah huyu alisema eng.hersi ni baba yakeMabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya NBC wanashuka dimbani kuwaalika Singida Black Stars.
Ni mchezo wa kukata na shoka, huku kuna Dube kule kuna Sowah. Huku kuna Keyekeh kule Aucho. Nani kuibuka mshindi?
Mechi itakuwa live saa 10:15 jioni na updates zote utazipata hapaa
Huyo dada akishinda atakuwa ameuacha KAHABA kwa point 5.Yanga ya Dar Vs Yanga ya Mkoani
Dugu moja, Singida lazma atamuachia dada yake
Hii wakisoma, lazima wasonyeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mechi ya maigizo hii haina mvuto. Only in Tanganyika, ndio maana mmeishia makundi kule hakuna mchekea.
Itakuwa ni mechi ngumu sana kumbukeni vijana wako kazini, je kuna wachezaji wanaozidi miaka 35, ili nifute kauli yangu ya kuhusu vijana wako kazini
CHAMA, AUCHO, MKUDE, MUSONDA
πππππMadalali nyie mmeona bora Aziz K atapeliwe na huyu mama watoto bila huruma.
Singida anataka nafasi ya 4 pia.Tabora yuko nyuma anampumulia.
Naona draw ya moja moja
Naona harufu ya draw wewe huoni mkuu?πππππ
Ndio maana Leo sijaenda uwanjani kaka nimeona miyeyusho πNaona harufu ya draw wewe huoni mkuu?
Hawa Singida hawa wabishi aisee.Ndio maana Leo sijaenda uwanjani kaka nimeona miyeyusho π
Exactly π― mie Leo sitokei Kabisa complex nisije kuchoma mafuta ya bure kwenye pikipiki yangu aiseeHawa Singida hawa wabishi aisee.
Na Yanga haina Aziz K leo.
Marafiki zake kadhaa walikua kwa sherehe siku mbili mfululuzo kuna fitness itakosekana hapo nina wasi wasi kama mbobevu. Labda Yanga watumie uzoefu wao kushinda hii game.
All in all Kocha mlienae anaijua Singida yake,so anaweza akawafunga ila ubaya haijui Yanga vizuri.Exactly π― mie Leo sitokei Kabisa complex nisije kuchoma mafuta ya bure kwenye pikipiki yangu aisee
Kabisa ngoja tuone baadaeAll in all Kocha mlienae anaijua Singida yake,so anaweza akawafunga ila ubaya haijui Yanga vizuri.
Tusubiri tuoneKabisa ngoja tuone baadae