FT: Yanga 2-2 Azam FC | NBC PL | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 06/09/2022

FT: Yanga 2-2 Azam FC | NBC PL | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 06/09/2022

HT. Azam wanastahili kwenda mapumziko huku wakiwa na bao Moja, wamecheza vizuri as a team.... Yanga kilichowaangusha ni papara Kwa safu ya ushambuliaji Kila mtu kujaribu kupiga Kila akilikaribia lango la Azam matokeo yake wanampa credit tu golikipa wa Azam
 
Yanga ina mashimo mengi mno ambayo yanatakiwa yawekwe sawa. Timu haiko balance, kiungo imezidiwa na pressing ni mbovu na kukaba inawapa ugumu. Nabi ana kazi ya kufanya laasivyo hii timu haitoboi champions league
 
Yanga ana asilimia nyingi za mushinda kutokana na chemistry walionayo

Tofauti na Azam ambauo bafo inataguta muunganiko tena katika nyakati ambazo kocha ni mgeni na hii ni mechi yake ya kwanza

Kwa mchezaji mmoja mmoka Azam nawaona wako bora kuliko yanga
Sawa mchambuzi
 
Battle ya viungo hapo katikati Azam wameshinda kwa asilimia kubwa sana, Bajana ni kama anacheza na watoto wake + Ndala anakaba balaa. Kama hakutakuwa mabadiliko hii game itaisha hivihivi.

Ni lazima mjue hii ligi watu wapo serious aiseeh, Bigirimana naye ni wakuanza kwenye kiungo dhidi ya Azam? Pale hamna player wa maana, Lomalisa naye ni uchochoro tu.
 
Nilipomuona amemweka Nkane na Birigimana nikastuka sana akili yake imewaza nini. Huyu Birigimana ndiye aliyeifanya game ya Yanga dhidi ya polisi iwe ngumu mpaka pale feisali aliposhuka chini
 
Kocha Nabi naye kuna wakati mawenge yanampanda kichwani. Mechi ya leo hakutakiwa kuwaanzisha Bigirimana, Morrison na Nkane kwa wakati mmoja.

Hawa siyo wakabaji! Kiungo kimekufa kwa sababu tu ya upangaji mbovu wa timu. Kipindi cha pili Sure Boy, na Fei Toto waingie kuongeza mashambulizi.
Toa Nkane na Bigirimana ingiza Sureboy na Feisal.
 
Yanga ina mashimo mengi mno ambayo yanatakiwa yawekwe sawa. Timu haiko balance, kiungo imezidiwa na pressing ni mbovu na kukaba inawapa ugumu. Nabi ana kazi ya kufanya laasivyo hii timu haitoboi champions league
Nabi amepanga kikosi cha kidwanzi sana. Sijui amewaza nini kuwaanzisha wachezaji wengi mafaza, na kuwaacha wapambanji nje.

Kama mdau wa michezo, sioni ushindi kwenye kikosi hiki cha Yanga iwapo hakutakuwepo na mabadiliko ya msingi.
 
Yanga ni giant sana kwa azam na atamnyosha tu. Yanga akishindwa nakunywa pilsner badala ya hanson's choice
 
Back
Top Bottom