TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
Nimekuquote hapo juu, ata haujaisha muda daadeky. Mayele sifa zimemzidi mshenzy huyu, mweeeeh!![emoji23][emoji23][emoji1787]Hattrick tena kwa Mayele
Tawiree[emoji23][emoji23]Na tutamfunga kima yeyote yule.
πππ Janero ndio wapi mkuu?Habari janero!
Makiwendo π€ π€Nimekuquote hapo juu, ata haujaisha muda daadeky. Mayele sifa zimemzidi mshenzy huyu, mweeeeh!![emoji23][emoji23][emoji1787]
MakiwendoMayele mnyama hatari sana Africa kwa sasa
1-1 badoGeita 2-1 Hilal
Aggregate 2-2
Kumchukia Mayele ni kujipa pressure bure.Afadhali CAF walivyofuta magoli ya raundi ya awali, maana huwezi kuwa top scorer kwa kuwafunga Mbao Fc ya Sudan
MsitupangieMe nilitegemea mechi kama hii wangecheza akina Ngushi...mnakamia sana