FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

Wangekuwa wachovu wasingekuwa champions league
Champion league ina amuliwa kwa timu kuchukua ubingwa

Timu yao imechukua ubingwa ila ni ligi mbovu, kwanza imeanza around 2014 pili hata upinzani wao uwanjani unaweza kuona ni kiasi gani ni low

Angalia tu kwenye mpira wa mwisho wa moloko ambapo cross yake imeenda juu ya lango. Alikuwa amezungukwa na wachezaji watatu lakini wote wanamuangalia, hakuna aliyemfata kumzuia mpala jamaa anautuliza na kupiga shuti
 
Kama unaona wameonewa ilete timu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…