Unakusudia ile mechi ya majaribio?? TP Mazembe bhana!!!Yanga 0 - Vipers 2!! Hiyo ni siku ya wananchi, yanga walifungwa na vibonde vipers!! Msijifanye kuwa mmesahau!!
Fo shuaaaa vile..muda si mrf nalog off🤣🤣🤣🤣
Mtani uongo hata haukupendezei!!!
Kwenye CV yake ana miaka 23, hajapishana sana na OnyangoKazi na Umri
Sawa bana kicheka kupokezanamniache na roho mbaya yangu mr mchambuziii
Jana mbona ww ulitucheka?Sawa bana kicheka kupokezana
sio kwa yanga hiiSimba na yanga zina tabia ya kushabihiana matokeo hivyo usishangae hii mechi ikiisha yanga 1-0,, ila ikiisha 1-2 in favor of Bamako itapendeza zaidi
Anazingua kisee..Mayeleeeeeeeeeeeee off target
Ujinga kabisa...Yanga mkirudi na uchezaji huu kipindi cha pili mtatafutana
mayele ndo MCHee, kumbe huku kuna tamasha la siku ya wanawake duniani🫣🫣🫣
Mpira sio manenosio kwa yanga hii