FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Punguza kuhemkwaa nawee, huwaga unaufyataa km sio wee vilee.
 
Kila la kheri Timu ya Wananchi. Leo ndio ile siku ya kuliheshimisha Taifa.

Mamelody anataka atafungwa hataki atafungwa.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeee!!!
Yaan a take asitakee, maseko anaku zoom mtani.
 
Ila maisha haya [emoji23][emoji23] baada ya jana wao kuyakoroga wote saa hii wanajua na sisi tutayakoroga. Lol
Mtani una kiraru mbona, kwemaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu punguza preshaa.
 
Ifike muda wanaotoa viingilio waheshimiwe, bure aghali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…