Punguza kuhemkwaa nawee, huwaga unaufyataa km sio wee vilee.Hii mechi Kolo FC walikuwa wameisubiri kuliko mechi yao, waliyo kalia kidude. Kama kawaida tuna wakaribisha na jezi zenu zq Mamelod mlizo zinunua zaidi wiki mbili, karibuni mumuone mwanaume.
Ila tutakumbushana Uarabuni hamna meza,maswala ya kupindua meza hamna,kule kuna majamvi so jiandaeni kukunjwa mechi ya marudiano.
Karibuni taifa najua mtajifunza kitu kupitia kwa Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeee!!!Kila la kheri Timu ya Wananchi. Leo ndio ile siku ya kuliheshimisha Taifa.
Mamelody anataka atafungwa hataki atafungwa.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Kuwa na adabuModerator upo!?..tukiashiria kwamba wewe ni mwanamke utupige ban,kana kwamba ulishawahi nadi jinsia yako
Mtani una kiraru mbona, kwemaa?Ila maisha haya [emoji23][emoji23] baada ya jana wao kuyakoroga wote saa hii wanajua na sisi tutayakoroga. Lol
Mimi nilikuwa na tiketi kabisakama kawaida yenu wazee wa vya Bure mvenjunja mageti
Muarabu siku ngoja awageukeTumeshindwa Kuingia Uwanjani,
Uwanja wanasema hakuna nafasi.
[emoji50][emoji50]
Haaaa, jana haikuwa aibu?Mkifungwa Itakuwa Aibu sana
Jana hatukuwa na vurugu za kijinga.Haaaa, jana haikuwa aibu?
Hasara za uwaribifu wa uwanja serikali Ndio inalipa ila nyuma mwiko wao kazi yao kuachia meno tuUpuuzi ni kuweka Vitu bure..ni upuuzi mkubwq mno
Tumerudi na VIP C zetuIfike muda wanaotoa viingilio waheshimiwe, bure aghali
Usikimbie Uzi shemeji hapo baadae
Ubuntu bothoTumerudi na VIP C zetu