cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Punguza kuhemkwaa nawee, huwaga unaufyataa km sio wee vilee.Hii mechi Kolo FC walikuwa wameisubiri kuliko mechi yao, waliyo kalia kidude. Kama kawaida tuna wakaribisha na jezi zenu zq Mamelod mlizo zinunua zaidi wiki mbili, karibuni mumuone mwanaume.
Ila tutakumbushana Uarabuni hamna meza,maswala ya kupindua meza hamna,kule kuna majamvi so jiandaeni kukunjwa mechi ya marudiano.
Karibuni taifa najua mtajifunza kitu kupitia kwa Yanga.