FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Hii mechi Kolo FC walikuwa wameisubiri kuliko mechi yao, waliyo kalia kidude. Kama kawaida tuna wakaribisha na jezi zenu zq Mamelod mlizo zinunua zaidi wiki mbili, karibuni mumuone mwanaume.

Ila tutakumbushana Uarabuni hamna meza,maswala ya kupindua meza hamna,kule kuna majamvi so jiandaeni kukunjwa mechi ya marudiano.

Karibuni taifa najua mtajifunza kitu kupitia kwa Yanga.
Punguza kuhemkwaa nawee, huwaga unaufyataa km sio wee vilee.
 
Kila la kheri Timu ya Wananchi. Leo ndio ile siku ya kuliheshimisha Taifa.

Mamelody anataka atafungwa hataki atafungwa.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeee!!!
Yaan a take asitakee, maseko anaku zoom mtani.
 
Ila maisha haya [emoji23][emoji23] baada ya jana wao kuyakoroga wote saa hii wanajua na sisi tutayakoroga. Lol
Mtani una kiraru mbona, kwemaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu punguza preshaa.
 
inalilahi wainalilahi rajiun
Screenshot_20240312-165230~2.png
 
Ifike muda wanaotoa viingilio waheshimiwe, bure aghali
 
Back
Top Bottom