FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Kocha aliweka wazi ya kwamba kuwachezesha hao wachezaji kwenye hii mechi huku wakiwa bado hawapo fit kwa 100%, ingekuwa ni risk kubwa.

Na katika hili, hata mimi ninamuunga mkono. Bora awaache ili wawe fit zaidi kwenye mechi ya marudio.
Mimi pia naunga mkono acha wapone kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…