Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Vyovyote uonavyo ..Hawapo hata benchi wanaingiaje mkuu au huu ni mpira wa chandimu?
Huoni nimesema hawajapona vizuri?
Au umekurupuka na statement ya mwisho hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyovyote uonavyo ..Hawapo hata benchi wanaingiaje mkuu au huu ni mpira wa chandimu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawapo hata benchi wanaingiaje mkuu au huu ni mpira wa chandimu?
Mimi pia naunga mkono acha wapone kabisaKocha aliweka wazi ya kwamba kuwachezesha hao wachezaji kwenye hii mechi huku wakiwa bado hawapo fit kwa 100%, ingekuwa ni risk kubwa.
Na katika hili, hata mimi ninamuunga mkono. Bora awaache ili wawe fit zaidi kwenye mechi ya marudio.
Daaahh!!. Nilikua na was was ila kwasasa was was umezid.. yan naona waz kabisaaaa uwanja ushainama kwa kikosi hiki. Nishayakumbuka maneno ya Tate Mkuu kuwa hamuamin kabisa GamondiMuamini mkude yupo vizuri akitulia Leo mamelodi hachomoki labda draw akijitahidi
Tushapigwa tayariDah hiki kikosi tusipo pigwa sijui
Sasa nani ana mihemko wiki nzima mna izungumzia Yanga.Punguza kuhemkwaa nawee, huwaga unaufyataa km sio wee vilee.
Nani sasa ana papara na hofu? Mimi, au hao ambao nimewajibu?Vijana mna papara na hofu sana. Mbona hiko kikosi kipo sawa tu, binafsi naamini Yanga watapata ushindi.
Mwenyewe Tate kasema kabisa kuwa amemuunga mkono kocha kwa kikosi cha leoDaaahh!!. Nilikua na was was ila kwasasa was was umezid.. yan naona waz kabisaaaa uwanja ushainama kwa kikosi hiki. Nishayakumbuka maneno ya Tate Mkuu kuwa hamuamin kabisa Gamondi
Lets pray for thatAcha hofu mkuu, everything will be alright...
Wewe naye huaminikagiAcha hofu mkuu, everything will be alright...
Wewe kalipe hela ya watu bet ya jana wakurudishe kwa group! 😂😂Kwa kikosi hiki cha Yanga cha Leo, mtani ajitahidi apunguze magoli
Mbona hiki kikos sikielew na nimeweka mkeka wa draw...Yanga kweli droo inapatikana
Walivunja Yanga sio mimi😅Jana hatukuwa na vurugu za kijinga.
Anyway hata game ya USM Alger mlivunja mageti.
Mnajua kilichowakuta
Sometimes hata dakika 10 tu zinaamuaTusubiri dk 90 zitaamua. 💛💚💛💚