Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kweli wanafungikaYanga tucheze ball vizuri, Mamelodi wanafungika
Kila la heri wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wanafungikaYanga tucheze ball vizuri, Mamelodi wanafungika
Kila la heri wananchi
Mtaomba sana leoKila la kheri wananchi, Mungu awe pamoja nasi.
Lolote liwakuteAll the Best Yanga.
Tunashukuru mkuu , mida ikifika tujongee uwanjani kwa pamoja.Yanga tucheze ball vizuri, Mamelodi wanafungika
Kila la heri wananchi
Ukishasema kiingilio yaani lazima kulipiaHaya nendeni mkavae jezi zenu za Mamelodi mje msisahau kiingilio ni bure
Na iwe hivyo ili mama na chawa wake wafunge madomo yaoHamna timu yoyote kutoka Tz itashinda iwe home or away.
Mamelodi wadogo waliopigiwa msumari jana leo tunawàpigilia tena kwa kuwafunga wakubwa waoNaziona goli zaidi ya mbili hapo baadae View attachment 2948694
Sasa hivi mna comment kwa adabu[emoji23][emoji23]Leo ndio leo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekuchaaaaaa
Tuma salamu kwa watu watatuUkishasema kiingilio yaani lazima kulipia
🐸🐸wanahamasishana kiaina aina 😂😂Sasa hivi mna comment kwa adabu[emoji23][emoji23]
Amina🙏🏽Na iwe hivyo ili mama na chawa wake wafunge madomo yao
Wewe na nani? Hivi kweli kwa akili yako ulitegemea mushinde ?Nasisi tulisema hivyo hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaa kwa kutuliaa, baadae ufurahishwee.Sasa hivi mna comment kwa adabu[emoji23][emoji23]
Uyooooo, ngoja nikung'ong'e kidogoNimeipa yanga 10% ya ushindi
Nyinyi ni wabovu mkuu.Nasisi tulisema hivyo hivyo
Sawa kama ulivyopakatwa jana na mwarabuMnakufaaaaa....