cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Leo saa 6 hii. Yaan bado dkk 4 mpira uanze.Hivi mechi ya Esperance vs ASEC ni leo saa sita usiku au kesho saa sita usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo saa 6 hii. Yaan bado dkk 4 mpira uanze.Hivi mechi ya Esperance vs ASEC ni leo saa sita usiku au kesho saa sita usiku
Jamani kajiandaeni na mechi yenu, hamjifunzi?Watatumia mbinu gani nyingine?
manake leo wametumia zote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajua hawajuii.ngoja waende sauzi ndo watawaona mamelodi wenyewe sasa.
Unakubali nini unakataa nini?Hivi yanga na mamelodi nani alikua anajilinda? Yanga chance zote walitumia counter attacks na bado wakakosaa.
Kuhusu mamelody walitawala dimba la kati, ila pale mbele leo shalulile na ribeiro hawakua na siku nzurii.
Nweiii pongezi kwenu, mmejitahidii.
Wewe roho imekuuma sanaMchezo wa leo mlichofanikiwa ni kuongoza kwa fouls na offsides.
Mechi inaanza Dakika 2 zijazo.Hivi mechi ya Esperance vs ASEC ni leo saa sita usiku au kesho saa sita usiku
Isha anzaMechi inaanza Dakika 2 zijazo.
Leo mtalinganisha ball na kila kitu.Ball possesion 70 kwa 30 ni sawa na maksi ya mwanafunzi wa kwanza darasani na wa mwisho, halafu huyo mwenye maksi 30 wa mwisho anajitamba ni mbinu ya kumzidi aliyeongoza maksi.
Mbona alikuongozea kundi, na kwake alikuchapaa.?Aly ni kibonde Hana form yake..... Kwani makundi nyie hamkuwa mnasema ni kibonde [emoji849][emoji849].
🤣😂😁😁😁😁😁😁Niumie nini leo kiroho kwatu
Kwani jana kulikuwa na mechi?Unakubali nini unakataa nini?
Yanga alijilinda sana huku akishambulia kwa kushtukiza.
Aisee ile game kama unajua mpira tizama jana na leo utasema mwenyewe nani amecheza mpira.
Rudia kusoma upya hii comment angu, naamini utapata kitu. Soma kwa utulivu mtani.Mamelodi wamepiga mashuti mangapi na Yanga Sc wamepiga mashuti mangapi [emoji16][emoji1787]
Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Kwani kosa la mzize leo ni lipi?Sijaelewa kwa nini Gamond kumwacha Mzize karibia dakika zote za mchezo. Msimu ujao Yanga watafute namba tisa wa kueleweka. Yanga inapaswa kubakia na mchezaji mmoja kati ya Gwede, Musonda na Mzize.
😂🤣😁😁😁 Kuna kumfunga na kumtoa we subiria kwake nyie si mlisema Leo Kuna Bongani zungu sasa dakika ya 10 game ilimshindaMbona hapa nyumbani kwako hujamfunga? Ndo ukamfunge kwake? Hebu nijibu kwan mtaniiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tufanye tumefungwa mtani sisi 0 mamelodi 4Rudia kusoma upya hii comment angu, naamini utapata kitu. Soma kwa utulivu mtani.
Sisi leo ni wachambuziLeo mtalinganisha ball na kila kitu.
yaani utopolo kukosa kupata goli nyumbani kwasababu ya kutokuwepo kwa wachezaji watatu ndo wanaona wataenda kushinda kule bondeni, yaani akili za kipoyoyo kabisa[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajua hawajuii.