Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Wananchi jadi yetu ni ushindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ya kwako jana yamekushindaNimeipa yanga 10% ya ushindi
Kuna haja ukapimweMwamba kawawin Wanajangwani Wote!!
Hii ya leo ni halali, amewatangulia wote!!
Nilikuwa nacheki tu for the records.
Suley2019 alikuwa wakwanza kupost.
Check screenshot zangu!!
Kabisa Mtani na sisi tutacheka sana leo.
Mimi ni yanga damu huoni avatar yangu ni Ibrah Bacca. Ila nilichofanya nimeshusha expectations zangu katika mechi ya leo. Wanasema Expectations is a root of all disappointments.... Prepare for the worst while waiting for the best.ya kwako jana yamekushin
🤣 Dj walete 🐸Kabisa Mtani na sisi tutacheka sana leo.
Ndo ivo mtani. 🤣🤣🤣 Dj walete 🐸
Masaa yanayoyoma 6hrs 42minNdo ivo mtani. 🤣🤣
Leo Chuma tatu kwa mojaMapema kabisa uwanjani leo. Sio mechi rahisi ya kujihakikishia ushindi moja kwa moja, tahadhari na kucheza kwa mipango ni muhimu.
Kaka mzuri wangu kanitahadharisha kabisa nisiende na matokeo yangu uwanjani 🤣🤣
Mungu Ibariki Yanga, tupate ushindi!
[emoji1666][emoji1666]Leo uzi wa kihasibu hatu ufukuiAll the best Yanga. Simba imecheza upumbavu mwingi kwa nini nisiwaunge mkono mtoboe. Ila mkifungwa nitawacheka
Huyu mchezaji mwenye jezi namba 17 wa simbaanapenda sana kudoea juisi za Waarabu! Yaani hapo tayari ameshasogea eneo la tukio kwa ajili ya kudoea.Nyie timu hamna mna wazee waomba juiceView attachment 2948701
www.livesports088.comHebu tuwekee link ya live streaming.
Kwani mbali sasaView attachment 2949075Wanaume kazini!💚💛🤸♀️
Wote vijana hamna mzee!