DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Ribeiro katoka sasa haya Sikilizia mpira huo 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi jana Jobe na Fred walikosaje na wao?Tobaaaaaaaaah!!! Anakosajeee pale mzinzeee? Woiiiiiih
We unaamini ni yanga hawa wameweza kukomaa bila kufungwa na mamelodi hadi sasa?asa hawamin kitu kutowafunga Goli had mda huu au hawamin kitu Gani
Amesukumwa hujaonaTobaaaaaaaaah!!! Anakosajeee pale mzinzeee? Woiiiiiih
Wacha guesde azameMzize kama Fred tu
wana wachezaji wengi top quality afu hawana pressureIla sundown wana dharau sana waneona ngoja sasa wacheze wawaoneshe vyura wao ni nani hasa..
Ni mwendo wa kupishana sasa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunajisumbukia ya sahivi hapaa. Ya jana yashapitaaaVipi jana Jobe na Fred walikosaje na wao?
Mmmh wee hebu sema kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amesukumwa hujaona
Wacha weeeeee.MAMELOD 1 huko
mamelod anakuzwa tu ukimpelekea moto anakubali sheriaNadiriki kusema ni kweli Mamelod huwa ni overrated sana. Hii yanga ingekuwa na angalau Yao ingeshinda kirahisi tu na ikatoa sare huko Afrika Kusini. Siku zote wako very slow.
Uoni boli linatembea?Kwa Mpira Upi mkuu 🤣🤣🤣