Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalizo, mwaka 2006 nilifunga penati kama ya zidane ile panenka ya world cup yaani baada ya mechi kesho yake nikaiga nikafunga,na hiyo ya kukatisha mbele ya beki nimefanya mara nyingi nilijifunza kwa javier saviola wa barcelona enzi hizo.huwa nacheza mpira huko mchangani nikitoka nje napata machawa kama woteila wachezaji wa mchangani bwana ukute apo ata mechi tu za umiseta hujawah cheza saizi unajifanya eti ungefunga Goli kwenye mechi kubwa kama hii mzee hii sio Ndondo wala Cha Ndimu hii ni CAF champions leauge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii yanga isipotuua na presha basi hatufi tena walaqhi', ni nini moyo wangu unaenda mbio mpaka sahii..!!
Pira limepoa sana, kheri kwao walioingia kutazama bureHujui mpira wewe kaa kimya
Yupi huyo?Huyu ni kama hajui matokeo anadhani Yanga imeshinda
We ni sare
Yanga tulikuwa tunatishwa kila Kona ,kuisha kwa mechi hii sasa WanaYanga amani tele Makolo hawaani macho Yao.Mashabiki feki wa Mamelodi na mijezi yao chaliii!! 😁
Hii mechi ina faida kubwa sana kwa Yanga ukilinganisha na mdogo wake mbumbumbu fc. Maana ngoma bado ni mbichi kabisa kwa pande zote mbili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo free Kik ya mwisho wangefunga watu wangezimia.
Kumbe leo yale majini yenu hayakuwepo?Mungu ni wetu sote , tukutane game ya pili wananchi tukiwa kamili.
Simba waliishika mechi Jana acha ushabiki maandazi.Kama jana CCM FC a.k.a Mangungu Jobe FC ilivyokuwa inaomba mechi iishe. 😀😃😄😁😆😅
Relaaaaxxxx!!!Mimi tulia?
Umeona pira la wanaume hilo?? Sio nyie mapema joto limepanda mmeruhusu goli kiboya 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane tar 05/04, afu mchana sasa saa 9. Woiiiiiih
Kwani simu zilikosa bando hadi zishindwe kupigwa?Ajabu ni kuwa makolo wanawacheka walio pata sare tena ya zero zero
mi nilivoona diara nkafarijikaDaah ila tumeteseka,maana hiki kikosi nilipo kiona nilitamani ni gaili kutizama mpira.