Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi au Simba? This time Simba lazima acheze Kwa Nguvu zaidi maana atakuwa analinda nini Sasa akipaki basi?Wewe ktk mechi zako ulicheza Misri na Al Ahly lini ulifunguka ww,funguka hovyo hovyo uone utakavyo kula mkono.
AaahaaaNa ole wao watupe njiani tutawaita wazoe
Baki tu kwenye Uchawa!Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
We mpira umeanza kutizama lini?Mimi sio shabiki wa Yanga Wala Simba Huwa naangalia Mpira tuu.Ukweli ni kwamba Yanga hawsi Ngunga Mamelodi,Simba anaweza shinda kule maana statistics zinambeba.
mshambuliaje mwenye ni mzize kutoka igumbilo iringaKwa madiba tunaenda kuwachinja ila mechi ilikuwa tamu, Yanga kaonyesha uanaume sio unafungwa kwenu km simba wa Dar zoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
🤣🤣🤣🤣🤣tenaaaaMwakarobo wana akili mbovu usishangae wakapanda zao ndege kuelekea bondeni wakasahau game yao iko Cairo.
Wiki nzima ulikua unapiga kelele na hawa watu wako, leo umewakalia kimya ka sio wewe..... Yanga ni lidude likubwa sanaBall possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Mpira wa kisasa ni mbinu(strategies)Mimi au Simba? This time Simba lazima acheze Kwa Nguvu zaidi maana atakuwa analinda nini Sasa akipaki basi?
Uwe unanifhatilis Kila mechi ya Yanga na Simba wakicheza na timu za Nje.We mpira umeanza kutizama lini?
Al Ahly unawajua wewe wakiwa kwao,hebu tafuta hata Statistics za mechi za Misri na 5imba uwaone ndugu zako wanavyo teseka.
Utamuona South kaa hapo hapo ndugu mtazamaji.....Sijaona mchezaji wa 🐸🐸anayeweza kumfunga Williams
Why simu hazijapigwa?Boli imepigwaaaa yaan
Nimekuuliza ushawahi kitizama mechi tatu za nyuma za 5imba zidi ya Al Ahly Misri?Mimi au Simba? This time Simba lazima acheze Kwa Nguvu zaidi maana atakuwa analinda nini Sasa akipaki basi?
Tulia wewe 😂😂😂mshambuliaje mwenye ni mzize kutoka igumbilo iringa