Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanapokuwa wana posses mpira wanakua wameuweka ndani ya jezi? Pass di ndiyo zinaunda possession? Au mimi ndiye naelewa tofauti?Kuna Tofauti kati ya Possesion na Pass mkuu
Wamezidiwa mbinu jombaa.Hakuna Cha kizamani Kwa sababu ni makosa ya wachezaji binafsi ndio yalifanya wasifinge.
Kwa hiyo Leo Mamelodi wamemiliki na hawajapata goli ni uzamani?
Acha upunguani we jamaa.Mimi sio shabiki wa Yanga Wala Simba Huwa naangalia Mpira tuu.Ukweli ni kwamba Yanga hawsi Ngunga Mamelodi,Simba anaweza shinda kule maana statistics zinambeba.
Mudaday imezimika kama kibatari sivyo?
Achana nae huyo ni kiazi kama viazi wengine hajui kuwa idadi ya pasi ndio zina calculate possesionKwani wanapokuwa wana posses wanakua wameuweka ndani ya jezi? Pass di ndiyo zinaunda possession? Au mimi ndiye naelewa tofauti?
Ijumaa siyo mbali, najua watatufurahisha sana.Yamekera sana
Uduguu maneno ya nn lete takwimu hapa, au unadhani naangalia mpira kwa kudowea? Naangalia haswaa, leo had mzinze alikua beki afu useme mmecheza mpira.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huoni aibu udugu kusema hivyo?? Kweli kabisa macho makavu hujaona Yanga walivyokuwa wanacheza?? Au bado una wenge la wajukuu wa Farao [emoji23][emoji23][emoji23]
Sare ya Leo ndio ushindi wa Yanga , South anaenda kubeba gunia la magoli 😁😁
Nyie mtashinda Cairo sawa .Sare ya Leo ndio ushindi wa Yanga , South anaenda kubeba gunia la magoli 😁😁
Tupotee wapi bado tupogo!Endeleeni hivyo hivyo mtapotea humu
Usiwe punguani wewe.Hakuna Cha kizamani Kwa sababu ni makosa ya wachezaji binafsi ndio yalifanya wasifinge.
Kwa hiyo Leo Mamelodi wamemiliki na hawajapata goli ni uzamani?
Takwimu hizi hapaUduguu maneno ya nn lete takwimu hapa, au unadhani naangalia mpira kwa kudowea? Naangalia haswaa, leo had mzinze alikua beki afu useme mmecheza mpira.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo chance za counter attacks bado mkabwanyaaa, woiiiiiih
Hata formation ya yanga leo uwanjani unaijua ilikua ipii? Uwiiiiih
Hili jamaa ni Yale mapunga yaliyojipa uchambuzi kuwafurahisha mabasha wao.Acha upunguani we jamaa.
Mpira sio tambo za Mama samia.
Rudi kule kwenye mapambio huku hupawezi.
Yani nyumbani Simba afungwe halafu anende akashinde ugenini tena kwa Al ahly???
Hivi unawajua al ahly we jamaa wakiwa kwao?
Uliza Yanga hatua ya makundi walivyotubadilikia kule kwao.
Hujui mpira kaa kimya utawashwa makofi.
Hivi unajua mziki wa mamelodi na Yanga tukaongoza kwa SHOTS ON TARGET??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mshambuliaje mwenye ni mzize kutoka igumbilo iringa
Tunanshukuru mamaView attachment 2949502
Tumekaza nyumbani tutawakaza kwao