Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wewe kwenye ligi yako unashika nafasi ya ngapi?Unatofauti gani na sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwenye ligi yako unashika nafasi ya ngapi?Unatofauti gani na sisi?
Hakuna ushabiki hapa, hakuna kusoma mbinu pale ni kuzidiwaUnaongea kishabiki sana
Wanafikiri wamepata point 1 utadhani hatua hii ina mambo ya points. 😅🤣Unatofauti gani na sisi?
Alichezaaa ila kwa tahadhari ili asiumie, akawaue vzur huko Petrolia, maana alishaona Alliende nusu lomalisa amvunje miguu. LolMtani Leo shalulile alicheza ?
Mtani wewe jana ulipata pwenti ngapiKumbuka:kwenye robo fainali na kuendelea hakuna mambo ya points. Usije ukasema mimi nina point 1 mtani, wewe una 0.
Na kwa kadri nijuavyo, Mamelodi hawatakuacha salama kwa Madiba.
Ligi unaongoza leo umeshinda ngapiWewe kwenye ligi yako unashika nafasi ya ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanafikiri wamepata point 1 utadhani hatua hii ina mambo ya points. [emoji28][emoji1787]
Mamaa jana ulikua kimya wewe nimekushobokea sanaa😂😂😂😂.Hii ni knock out stage, kila mtu anacheza kwa tahadhari, mbinu na malengo ndo muhimu.
WamechanganyikiwaWanafikiri wamepata point 1 utadhani hatua hii ina mambo ya points. 😅🤣
yanga pamoja na kuroga kote lakini bado wanashangilia sare wakitegemea kwenda kupata goli la ugenini.5imba kaumizwa jana na leo
Hata game na Petro ilikuwa hivi hivi na shalile ndani 😁🤣😂 yaani Hawa wanaToa sare na piramid kwao wanifunge mieAlichezaaa ila kwa tahadhari ili asiumie, akawaue vzur huko Petrolia, maana alishaona Alliende nusu lomalisa amvunje miguu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mmefungwa mi nime draw mbona tofauti iko wazi mkuuUnatofauti gani na sisi?
Jana wewe umefungwa ngapi kwaniLigi unaongoza leo umeshinda ngapi
Umedraw una point ngapi?Nyie mmefungwa mi nime draw mbona tofauti iko wazi mkuu
🤣😂😁😁Baelezeeee bana zani sisi KamA wao waliopigwa MojaNyie mmefungwa mi nime draw mbona tofauti iko wazi mkuu
Wangizidiwa wangefungwa 5 basiHakuna ushabiki hapa, hakuna kusoma mbinu pale ni kuzidiwa
ngoja waende sauzi ndo watawaona mamelodi wenyewe sasa.Unawazungumzia yao, pacome na aucho, kwan hujui na wao wana wachezaji majeruhi? Akiwemo kapteni wao Zwane? Na hiyo siku atakuwepo pia.
Umedraw una point ngapi?
We umedraw mi nimefungwa point unazo ?Jana wewe umefungwa ngapi kwani