uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
KabisaNapenda hilo litokee ila nao watahakikisha wanafanya kila liwezekanalo wapate ushindi hata kwa kuiba
Wakitoa sare na hapo hakutakuwa na gape tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaNapenda hilo litokee ila nao watahakikisha wanafanya kila liwezekanalo wapate ushindi hata kwa kuiba
Wakitoa sare na hapo hakutakuwa na gape tena
Hee, Mbona Ghafla...?
akiendaga kwao huwa harudi mapema, ni kama Morrison tuHivi leo pia hayupo?
Ushindi wa Uto upo kwa DiarraYanga hii mechi sio ya kukosa ushindi jamani.
Kwahiyo Aziz Ki ndio anashikilia ushindi wa timu au? Na bado akiwepo kuna wajinga wanamsema vibaya.
Mnawashwa kimoja akili iwakae sawaWanasogea sahivi sema nyuma tuna ukuta. Mchawi pale mbele
Hakuna draw hapa Dodoma anapigwa 2Kimasihara chuma inalala droo
Kuna goli sema mudaMnawashwa kimoja akili iwakae sawa
hutaamini inaweza kuisha moja mojaHakuna draw hapa Dodoma anapigwa 2
Refa mwenyewe ana UTI uyooo mshenziRefa bidada Ester leo.