kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Leo Mgonga Nyagi Mmoja kaanza....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah [emoji57]inacheza lkn ikifika golin mwa dodoma hawaoni goli lilipo
Gwede anazingua 😂Dah yaan huku mbele hamna kitu..
Yule alikuwa wa kufanyiwa mazingaombwe tu. Kazi yake imeishia hapoHivi kale kajamaa kalikofunikwa mashuka zanzibar kutambukishwa kako wap
yupo bench au?Yule alikuwa wa kufanyiwa mazingaombwe tu. Kazi yake imeishia hapo
Yupo MOI wodi ya bodabodayupo bench au?
Hata bench hayupoyupo bench au?
Anapenda kuufinyia kwa PacomeGwede anazingua 😂
DahNzengeli na Gwede watoke wakapumzike
⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku.
View attachment 2894502
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa Dodoma anapewa kadi ya njano
Dakika ya 30
Bado 0-0
Dakika ya 35
Yanga SC wanapata Kona ya 2
Wanashambulia sana pacome na musonda wamekosa nafasi ya wazi kabisa
Dakika ya 37
Lomalisa anapiga mpira viva yanga fireeerrrr