kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Kuna Upande naona Wamewaweka Wale Mabeki Wafupi wafupi....!
Yaani tuombe Mungu Vimo Vifupi Visitukosti...!
Yaani tuombe Mungu Vimo Vifupi Visitukosti...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gude boy kaanza.Dodoma nguvu moya
Nakubaliana na wewe, japo kuna watu walimpigiania sana apangwe ila kwenye mechi ya Kagera madhaifu yake yameonekana. Pengine labda kuna shida ya kiafya kwa mabeki wanaounda first elevenBeki line ...... Huyu Gifty[emoji849][emoji849][emoji849]... Mzito sana wajameniiiiii... Anuary Jabiri anaweza kutuharibia siku asee[emoji119][emoji119][emoji119] anyway kila la kheri Young Africa.[emoji172][emoji172][emoji169]
Hii wiki walau iwe nzuri kwangu jamani, iliyopita nimechapika sana.
Siku hizi wachezaji wanakuwa na namba zaidi ya moja, usikariri.Gude boy kaanza.
Musonda kaanza!!
Kumbe Jamaa sio Namba 9
[emoji460]️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
[emoji909] Azam Complex
[emoji797] 1:00 UsikuView attachment 2894502
Anhaa nimekupata.Siku hizi wachezaji wanakuwa na namba zaidi ya moja, usikariri.
Na Siku yako iharibike tu.Beki line ...... Huyu Gifty🙄🙄🙄... Mzito sana wajameniiiiii... Anuary Jabiri anaweza kutuharibia siku asee🙌🙌🙌 anyway kila la kheri Young Africa.💚💚💛
GuedeAnhaa nimekupata.
So leo Tisa ni Musonda au Gude boy?
🤣😁Ngoja leo tena tumwone.
Msitukimbie wanetu tutawajuza
Hakuna straikerWameponaje hapoooo