wanafinyiana ππHivi yanga inacheza nn apo golini mwa dodoma
Enjoy mwanetuHuyu mnyiramba nipo nae sambamba
Dah yaan huku mbele hamna kitu..Bro. nikisema hamna strategies yoyote ile nielewe.
Yaani tunaona butua butua tu.
plan ya maana hakuna
nyambafu
[emoji23][emoji23][emoji23] holiday
Mda si mrefu mtakimbia humu
kabisa ila haaifikii simba
Bado hamjasema.Khaaa. Kwa hiyo 5imba nzima jirani.
Koh koh koh.
πππMnaoangalia mpira hivi n kweli Yanga inacheza au redio yangu imepoteza majira
inacheza lkn ikifika golin mwa dodoma hawaoni goli lilipoMnaoangalia mpira hivi n kweli Yanga inacheza au redio yangu imepoteza majira
Timu mbovu straika guede mbovu saanainacheza lkn ikifika golin mwa dodoma hawaoni goli lilipo
Mjanja huyu, akileta player mzuri anatafuta machawa wamuimbe mitandaoni, akileta akina Konikoni, utashangaa tu wameachwa kimya kimyaNa akamleta Dombya ,nkonkon na bigrimana . Hakika injinia hakosei
Gwede anazingua πDah yaan huku mbele hamna kitu..