FT: Yanga SC 1-0 KMC | NBC Premier league | Benjamin Mkapa Stadium

Ame

Job anapoteze

Dakika ya 83'

Yanga 1-0 KMC
 
Moroko
Denis Nkane

Daluweshi
Kijiri
Kijiri
Kijiri

Bangala
Farid
Chikupe

Mpira unatoka nje
 
KMC wanafanya utoto, walipata nafasi nzuri wakaanza uchoyo
 
KMC

Kijiri anatoka
Boniface Maganga anaingia
 
Azizi Ki anatoka anaingia Sure boy
 
Yanga

Azizi Ki anatoka
Sure Boy anaingia

KMC

Zugamasabo anatoka
Waziri Junior anaingia
 
Ila KMC wapo vizuri sana mpira wanajua ,wanajiamini na wana maturity kubwa sana. Ile droo ya Simba na juzi kumpiga Azam walistahili.
 
Nimekuajaaa kwa kasi na hata sitazami mpira niko naelekee ddm
 
Farid

Makaaaaaaaaaaaambo

Mpira unatoka nje pale

Free header
 
Makambo ana bahati mbaya sana, kila anapotaka kujituma kumuoneshea kocha uwezo wake lakini mipira inamkataa
 
Makambo anazingua mzito kinyama,speed hana ,control hana.

Kuna dogo tumemsajili streka kwa nini wasimwanzishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…