Mwanangu nipo gizani naanza tu kuona game wamebeba umeme jamaaniii mm kweli wa kufatilia game ya utopolo JfHapa nipo gizani yaani😡😡
Makolo....wanatafuta huruma kwa KMC
Yeye ndo ana nongwa kweli kwa siku umeme tunakaa nao masaa 3 tuu utadhani kifurushi cha mb cha voda sio poa game ndo nishaikosa tiyariUna Nongwa gani na 'Maharage' Chande....!
Sio Mayele tena?Yanga Ni Fei Bila Ya Fei Hakuna Yanga [emoji28]
Huyo ndio anaipa point 3 Yanga leo pamoja na Jesus wa Congo.Feisal kajaribu bahati yake
Utakimbia hapa, Unamjuwa Nabi kipindi cha Pili huwa anafanya nini.Yanga wanacheza kama Ihefu
Sio Mayele tena?
Ngoja tuoneHuyo ndio anaipa point 3 Yanga leo pamoja na Jesus wa Congo.
Sawa ila tutayaajua mengi msimu huuYanga Ni Fei Wewe!