ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Mamaeeeee wamechoropokaje hawa pimbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani siku ya Al Hilal kule Sudan alipata nafasi? Acheni ushambaSimba wameloga sana, Mayele hajapata nafasi
Mayele kwa Onyango afanyi kitu,yule ni babake kabisa anamuheshimu kama baba.Simba wameloga sana, Mayele hajapata nafasi
Wewe ni mjinga ina maana simba alikuwa hazitaki hizi point 3?Uto wamesema wnjipima nguvu mechi hii waone kama watawez kumenyana na Club Africas sasa kama wameshindwa kupata ushindi ndo basi tena shirikisho groupe stage shirikisho wataisikia kwe radio.
Uwezo wako wa kufikir mdgoSimba wameloga sana, Mayele hajapata nafasi
Washukuru watatolewa mapema na Afican vinginevyo kwenye makundi watapigwa 10Kama ndo kwa jinsi matopoz yalivyozidiwa walah mtapigwa nyingi sana nje huko
Baelezee haoooooooo MakolokoloMakolo muelewe sisi ndiyo tumewafunga japo tumetoka sare... team ikitangulia ikisawazisha ni mmekikaliaaaaaaa
Yaani nyie ni useless kabisa....mmeshindwa kuifunga hii yanga nyepesi kabisaMsyuuuuuuu