Huna haja ya kushukuru, mimi na weweβ₯οΈAhsante
Sema leo mnaweza mkachezea !!Huna haja ya kushukuru, mimi na weweβ₯οΈ
Thubutuuuu! Yanga tunatembeza bakora tuuuuSema leo mnaweza mkachezea !!
Hayaa ila acha tuwaombee kila lenye kheri angalau mtaweza kuipa heshima ligi yetu.Thubutuuuu! Yanga tunatembeza bakora tuuuu
Ni pre season, ndio muda wa kupima usajili.Sema leo mnaweza mkachezea !!
Nakubali ndio maana nasema watachezeaNi pre season, ndio muda wa kupima usajili.
Kiuhalisia Yanga na timu inayocheza Bundesliga huwezi kuwaweka daraja moja, wao wana facility zote huko kwao.
HaswaaaaAtakuwa wa Manguruwe FC huyo π€£π€£π€£
.................. mpaka usemeBonanza?
Tanzania na SA tofauti ni saa mojaNadhani saa 11 japo vyombo vya habari vinasema saa 10 Tanzania na Malawi tunapishana saa 1 Malawi wako nyuma yetu, Malawi na South Africa wanapishana pia kwa saa 1, South Africa wako nyuma Malawi kwa saa 1, ina maana Tanzania na South Africa tunapishana masaa 2
Umeonaee! Yaani kipimo kizuri kabisa na hizi mechi ndo zitatupa mwangaza wa nini tutafanya Timu ya Wananchi msimu mpya ukianza kule Champions league.Hapa Mtani kweli uko Pre Season, hii ingekuwa kwa wale mngesikia