FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Muhtasari kabla ya habari

Screenshot_20240720-165832.jpg
 
Unatizama mpira vizuri!?
Umeona safu yao ya ushambuliaji inavyokamia!?
Augsburg wanakamia mzee Embu rejelea vizuri game.
Sevilla waliwachezea kiutani.
Unadhani kina Eva Banega wangepiga lile formation Lao la 3-5-2 NINYI mngechomoka!?
Acheni utani ninyi.
Acha masihra mkuu. Kwamba wajerumani wameikamia Yanga? Hahaha
 
Tuwakumbushe Watu mnacheza na Timu kubwa.
Ilimaliza ligi ya Ujerumani nafasi ya 11.
Mkiifunga hakuna timu yakuwasumbua Africa.
View attachment 3047257
Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
Screenshot_20240720-165820.png

Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
 
Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
Ligi ya Germany unaifuatilia vizuri!?
 
Washambuliaji wa Augs wanatumia nguvu kubwa kiasi wamecheza foul nyingi.
Angalia mpira vizuri.
Hao jamaa wangekamia na uzoefu walio nao tungekuwa tunaongea mengine saa hizi.
 
Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
Halafu 1st 11 yao yuko mmoja tu 😀😀😀
 
Unatizama mpira vizuri!?
Umeona safu yao ya ushambuliaji inavyokamia!?
Augsburg wanakamia mzee Embu rejelea vizuri game.
Sevilla waliwachezea kiutani.
Unadhani kina Eva Banega wangepiga lile formation Lao la 3-5-2 NINYI mngechomoka!?
Acheni utani ninyi.
Hawakamii mbona wako regular tu Mzee?

Sema pale mbele una cabinet ya wasee (kama wamasai wanavyotamka) ndio maana unaona jamaa wanaka
1721484257135.png
 
Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
Na ile timu ya Misri ilowafunga SITA ni daraja la ngapi!?
 
Back
Top Bottom