Mech engineer
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 354
- 472
Labda sare ya harusiHii game ni sare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sare ya harusiHii game ni sare
UtajioneaSio rahisi mdau
Acha masihra mkuu. Kwamba wajerumani wameikamia Yanga? HahahaUnatizama mpira vizuri!?
Umeona safu yao ya ushambuliaji inavyokamia!?
Augsburg wanakamia mzee Embu rejelea vizuri game.
Sevilla waliwachezea kiutani.
Unadhani kina Eva Banega wangepiga lile formation Lao la 3-5-2 NINYI mngechomoka!?
Acheni utani ninyi.
MDa utaongeaLabda sare ya harusi
Nakimbilia wapi?Mkuu baadae usikimbie 😁😂😂
Washambuliaji wa Augs wanatumia nguvu kubwa kiasi wamecheza foul nyingi.Acha masihra mkuu. Kwamba ujerumani imeikamia Yanga? Hahaha
Labda sare ya vijoraHii game ni sare
Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4Tuwakumbushe Watu mnacheza na Timu kubwa.
Ilimaliza ligi ya Ujerumani nafasi ya 11.
Mkiifunga hakuna timu yakuwasumbua Africa.
View attachment 3047257
Wachezaji 10 wa kikosi cha kwanza cha augsburg fc hawajacheza leo...vp kocha awaingize wapashe misuli??
Ligi ya Germany unaifuatilia vizuri!?Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
Mzize wa hovyo sana hata akifunga, huyu na Kibabage wangewatoa kwa mkopo kwenda Dodoma Jiji.Mzize simpendi wamtoe huyu kijana ni Mwangaaa
Hao jamaa wangekamia na uzoefu walio nao tungekuwa tunaongea mengine saa hizi.Washambuliaji wa Augs wanatumia nguvu kubwa kiasi wamecheza foul nyingi.
Angalia mpira vizuri.
Halafu 1st 11 yao yuko mmoja tu 😀😀😀Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.
Hawakamii mbona wako regular tu Mzee?Unatizama mpira vizuri!?
Umeona safu yao ya ushambuliaji inavyokamia!?
Augsburg wanakamia mzee Embu rejelea vizuri game.
Sevilla waliwachezea kiutani.
Unadhani kina Eva Banega wangepiga lile formation Lao la 3-5-2 NINYI mngechomoka!?
Acheni utani ninyi.
Haa
Maana yake hawa wamba wamekuja kwenye utalii tuHalafu 1st 11 yao yuko mmoja tu 😀😀😀
Na ile timu ya Misri ilowafunga SITA ni daraja la ngapi!?Wakati sisi tunacheza na Sevilla, Sevilla alikuwa nafasi ya 6 huku akiwa na tofauti ya alama 2 na timu ikiyoshika nafasi ya 4
View attachment 3047263
Lakini mchukue huyo Augsburg aliyeshika nafasi ya 11 muongezee point 2 utamkuta bado yupo hapohapo kama Bismin wa posta.