FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Haijalishi bro kumbuka huyu kocha mpya na hana kikosi maalum cha kwanza.Pia ana wachezaji wa higher profile.
Umefuatilia game za Augsburg msimu uloisha?
Unajifariji boss. Sikia, hakuna beki ya kuwazuia hao jamaa wakiamua kukamia kuyatafuta matokeo against timu kama Yanga. Kitashuka kipigo FIFA itaingilia kati.
 
Unajifariji boss. Sikia, hakuna beki ya kuwazuia hao jamaa wakiamua kukamia kuyatafuta matokeo against timu kama Yanga. Kitashuka kipigo FIFA itaingilia kati.
Ndivyo unavyoona wewe.
Aya tusubiri mpira uishe.
 
Sheikh yule yule ila kanzu nyeusi.

Hallelujah!!!
FB_IMG_17214849665335295.jpg
 
Back
Top Bottom