FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Sasa hawa unawaona wako serious hapa?

Hawa unawaona wako serious kwasababu wanacheza na ma grandpa.

Kwanza unatakiwa ujue ile mechi sisi tulifelishwa na Uchebe aliyekuwa anataka kila mtu acheze.

Mwisho wa siku akawa anawaingiza kina Salamba ambao muda wote walikuwa wana uoimbukeni wa kuwashangaa wachezaji wa Sevilla.
Kaka umeongea ki utani kama nape au uko seriously?
 
Back
Top Bottom