Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo hata SubMusonda anaingia muda gani uwanjani acheze kidg
Duu yule mwamba mzuri sana au washampa thanksHayupo hata Sub
miSevilla walicheza kimasihara sana.
Kama wangecheza ile kukamia simba mngekufa kumi bila.
Nlicheki game usitudanganye.
Gamondi hana rahaBaleke anaingia anamtoa Chama
Kocha anataka kila mtu aondoke na lawama
Hujatizama mpira vizuri.Sawa ila mi sioni hizo incidents za foul kuhusisha kukamia
Yuko kawaida kabisa kwasababu ana test kikosi.Gamondi hana raha
Mbona hata haonyeshi tabasamu?Yuko kawaida kabisa kwasababu ana test kikosi.
Wala hana presha yeyote.
Kaka umeongea ki utani kama nape au uko seriously?Sasa hawa unawaona wako serious hapa?
Hawa unawaona wako serious kwasababu wanacheza na ma grandpa.
Kwanza unatakiwa ujue ile mechi sisi tulifelishwa na Uchebe aliyekuwa anataka kila mtu acheze.
Mwisho wa siku akawa anawaingiza kina Salamba ambao muda wote walikuwa wana uoimbukeni wa kuwashangaa wachezaji wa Sevilla.
Tena ile Sevilla ya kina Banega weeeeh!Kumi? Sema mwana unawapendelea simba😅
mi
Leo ameanza Chama tuHuwezi amini, vyuma vyote vilivyotoka Simba Vinaanza 1st Eleven
Ndivyo alivyo siku zote.Mbona hata haonyeshi tabasamu?