AminaaaTupo tayari kwa mchezo wa robo fainali mechi ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
View attachment 2864134
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaaaTupo tayari kwa mchezo wa robo fainali mechi ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
View attachment 2864134
Na sisi Yanga sc wazee wa 5gAnafungwa na nani?
Anhaa...Na sisi Yanga sc wazee wa 5g
😂🤣😁Mimi nilikuwa mdau wa Udaku. 😂😂
Tupo tayari kwa mchezo wa robo fainali mechi ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
View attachment 2864134
mbovuHivi clement mzinze kwa nini hajaitwa timu ya taifa?
Hivi ilikuwa Mechi ya Wasudani eee?Hivi vipi ripoti ya Okrah Magic wale wa Sudan sijui walitumwa na makolo
Hivi clement mzinze kwa nini hajaitwa timu ya taifa?
Mi nawaombea Yanga wafungweeee[emoji28]
AmeenLolote liwakute maana mlisema hamna haja ha haya mashindano...
Weka vizuri mkeka wako,utakosa helaYanga atafungwa 2,APR atafungwa 1
Kuna shida gani mtu kuanzisha uzi wake?Hata kama ni ushabiki ila hii sasa imezidi aiseee, niliwahi kusema humu kwa huu utoto wa kuanzisha hizi thread za match ni bora tu mods wakwa wanaanzisha wao hizi nyuzi.