Nimeamini uchawi upoYanga hawezi kufika finally, trust me
Naanda kamati ya roho mbaya, yaani mwezi huu mpaka hilo pala lake liote nywele.Hapo hatujai. π€£π€£π€£
Unanunua mechi club bingwa?Huko si ananunua mechi.
Unaweza kudhani nazungumza kishabiki....ni rahisi kuwa emotional kuliko rational
Haitafanikiwa.Naanda kamati ya roho mbaya, yaani mwezi huu mpaka hilo pala lake liote nywele.
Kumbe na skundu alianza??[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Denis Nkane ni majeruhi?Jana kwenye press kocha msaidizi wa yanga alisema " kesho tunaingia na kikosi bora, kwetu sisi ushindani katika hii michuano unaanza rasmini, wachezaji wote wako vizuri ""
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja
Akajiumiza π€£π€£Kumbe na skundu alianza??πππ
Subiri ujionee huyu kipara analeta upuuzi.. sisi ni wakulala saa 4 kisa APR kabisa?. Gamond ni Bata asee.Haitafanikiwa.
Maybe apoteze game 2 tu za ligi.
Nitajiunga na wewe
ππNaanda kamati ya roho mbaya, yaani mwezi huu mpaka hilo pala lake liote nywele.
Ni mshenzi sanaSubiri ujionee huyu kipara analeta upuuzi.. sisi ni wakulala saa 4 kisa APR kabisa?. Gamond ni Bata asee.
πππππππLeo gamondi kazinguaMkuu nakuheshimu!!, Nilivyochukia naweza kutuma mizimu yangu ikashusha busha!.
Huu mchezo ni wa benchi lote la ufundi jumlisha na kina Hersi SaidSubiri ujionee huyu kipara analeta upuuzi.. sisi ni wakulala saa 4 kisa APR kabisa?. Gamond ni Bata asasee.
Sasa jamani yule mauya anhaaaa Dunia hii mhh...πππππππππππLeo gamondi kazingua
Yule ni wa kumuacha tuSasa jamani yule mauya anhaaaa Dunia hii mhh...ππππ
ππ€£π€£πππ