version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Mechi ya yanga hata kama siyo shabiki raha sana kuangalia,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] skudu anatolewa nje, watu wako buzzy na kushangilia bao.Chuma ya moto
Nzengeli umemuona kwenye first eleven? Mbona umeishia kutaja hao wawili tu vipi ndio wameishia au kuna wengine?Ina maana Mzize na Zengeli huwa hawapati nafasi kwenye first eleven? Umbumbumbu ni mzigo! Wachezaji huanza 11 kwa sababu hiyo ndiyo idadi inayotakiwa. Haina maana kwamba ambao hawajaanza so waziri. Ndiyo maana huwa inawezekana kufanya "rotation". Msianze kutafuta visingizio mtakapokandwa.
Nisamehe vibertz japo muda bado ndugu yangu tuzisubiri dakika 90 kwanzaKwahivile aliwaasumbua nyie na kikosi chenu kilichosheheni wachezaji wengi wanaoanza? Haya kiko wapi?
Simba yetu mbovu sana,leo pamoja na hiki kikosi cha yanga APR waliowasumbua Simba wanaonekana hawajui kabisa
Hao ni mfano!! Huwezi kuanza na wachezaji zaidi ya 11.Nzengeli umemuona kwenye first eleven? Mbona umeishia kutaja hao wawili tu vipi ndio wameishia au kuna wengine?
Pumbavuwanasawazisha kuanzia hapo.
free kick kwetu APR
Maombi yako yanaendeleaje hapo kwa Mwamposa?Mi nawaombea Yanga wafungweeee[emoji28]
Hao ni mfano!! Huwezi kuanza na wachezaji zaidi ya 11.Nzengeli umemuona kwenye first eleven? Mbona umeishia kutaja hao wawili tu vipi ndio wameishia au kuna wengine?
Utasemaje mfano badala ya uhalisia? Kwani wachezaji huwaoni uwanjani? Taja wachezaji wengine wanaanza first eleven ukiachana na Mzize na LomalisaHao ni mfano!! Huwezi kuanza na wachezaji zaidi ya 11.
Mbona hamkuwafunga KVZ pamoja na kuweka wachezaji Senior kipindi cha pili? Ulisha fuzu unatumia energy kubwa ili iweje?Hii APR ndio ile waliyoisumbua simba? Mpaka simba wakaweka full squad isitoshe mpaka wakamuita onana ambaye alikuwa hayupo substitution lakini waka suluhu.
Leo wanacheza na yanga B tena wamefungwa na moloko!!
Ngoja mpira uishe tuone