Unazingua...🤣🤣🤣
😂😂😂kondoo wa Bwana Yesu..safiSawa kondooo wa bwana
Kibwana pass mbovu bwana kapeleka pasi mguu usio sahihiMauya katoa sadaka 1-1
Usimtetee mauya yule ni galasa bora hata mkudeKibwana pass mbovu bwana kapeleka pasi mguu usio sahihi
MbiliTz kafa ngapi huko jamani
Hivi hawa wasabato wamesawazishaje?Moya moya hukooooo
Utaelewa taratibuKama mlishafufuzu kulikuwa na maana gani kumuita onana ambaye alikuwa hayupo substitution?????
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]bado naombaMaombi yako yanaendeleaje hapo kwa Mwamposa?