FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

Mzize na Mauya wamechoka sijui kocha haoni
Kwanini Mzize anachoka mapema? Tulitarajia kinda kama yeye (19yrs) awe na pumzi ya kutosha, badala yake anazidiwa na akina Onyango.
 
images.jpeg

dada zao wakina APR.
 
Ila nasikia harufu ya nuksi kwenye haya mashindano.
 
Jina Linapendeza tu kwa suffix yoyote ile...

Utopolo..

Utopox...

Utopwinyo...

........

Ndo Mpira Ulivyo Wana Utopolo... Japo najua mtasema Kilikuwa Kikosi C...
 
Back
Top Bottom