Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ngosha gani ni Shabiki la umbumbumbuni hii ni aibu sana daaaah [emoji4]Nawachoraaaaaa tu utopwingo maana ka feeling ka kumpiga mt saba watakapata mwaka 2700View attachment 2558315
Niumie na nilishatangulia kwenda Robo, tena CL na sio losers.Unaumia na matokeo ukiwa wapi [emoji16]
Halafu....[emoji3578]Monastri kapumzisha wachezaj 6 wa first eleven[emoji1593]
Napata raha sana Makolokolo akiteseka namna hii, Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............[emoji847]Waarabu wanaweza kukuacha ucheze utakavyo, wanakuja kukupiga kimoja tu cha kushtukiza wanamaliza mchezo. Hii mechi haina tofauti na ile ya Al Hilal.
Halafu hii ni kweli. Kiwango chao leo kimenishangaza sana.Monastri kapumzisha wachezaj 6 wa first eleven[emoji1593]
Bwaaaaaaaaaaaaaaah................[emoji3]Yanga hawana mpira wa kuvutia yofauti na ladha ya Simba wakiw uwanjani.
Kinachowasaidia hawa ndugu zetu ni midochi + kukimbia kimbia bila malengo.
Whaaaat...!!! Kwamba Fisadi kuu ni Mjamzito? [emoji15][emoji28]Ndugu kwani una mimba?
Pale Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Madunduka/Mipang'ang'a/Makelele/Kolowizards/Ngada/Zuwena/Kinyume nyume FC anavyoteseka ni furahi day kwa Wananchiiiiiiiiiiiiiii...........[emoji1787]Yanga shukuruni mvua la sivyo mlikuwa hamtoboi
Kwan hata mechi ya kwanza TUNISIA walikuwa na kiwango gani SEMA imekutana na TIMU yenye KIWANGO ndo mana wakapoteanaHivi hii ni kweli? Maana kiwango chao leo kimenishangaza sana.
Huyo si Malaika, acha kuangalia Mtu alipoangukia (event) bali angalia alipojikwaa (source) na ndiyo hekima katika maamuzi.Kuna watu nashindwa kabisa kuwaelewa, hivi ni kipi kinakufanya umshambulie OKW BOBAN SUNZU , jamaa anajitahidi kutoa live updates halafu yupo very positive kwa timu yako. Mnaweza mkataniana kama ilivyo jadi lakini siyo kwa namna hii.
kwanini anatiwa hurumaNimeamua niongee maana mnatia huruma..
Kolowizards lilivyotaabika huku Mabingwa wapya wa Shirikisho, EPL, FA, Ngao ya hisani "Yanga FC" tukinenepeana kwa ushindi [emoji23].Dk bado zinatosha sana kwa USM kufanya lolote
Nina raha sana jamani kuona Makolokolo wanavyoumia namna hii [emoji2]Hawa waarabu wapo kukamilisha ratiba tu wehu
[emoji38]Hivi hawa waarabu wamelogwa nini?? Hii mvua sio ya kawaida kuna namna
Akili zikishakuwa za kichawichawi haziwezi kuwaza tofauti nnje ya boksi [emoji16]Hivi hawa waarabu wamelogwa nini?? Hii mvua sio ya kawaida kuna namna
Na kushangazwa utaendelea kushangazwa sana na hii timu. Tangu ya kule Tunisia na Club Africain mpaka leo na USM.Halafu hii ni kweli. Kiwango chao leo kimenishangaza sana.
Monastri kapumzisha wachezaj 6 wa first eleven[emoji1593]
Hizo mara 6 wapi huko? Isije ukawa umekosea unamaanisha goli 6 tulizowapiga au unamaanisha mlizopigwa na Raja?
[emoji4] Sisi ndiyo Yanga FCgoli 2 zinafanya goli 7 za jana zionekane upuuzi tu daaah huu mpira